music 4rever

Videos

Wednesday, 14 November 2018

Mp one amkana mpenzi wake adharani...

Msanii wakizazi kipya anetamba na ngoma yake ya utanikumbuka akana kutoka kimapenzi na moja kati ya wafanyakazi Wa meneja wake..
Taree 04/11/2018 wawili hao walionekana wakiwa pamoja katika uwanja Wa ccm kirumba jijini mwanza,na haya ndio majibu ya Msanii mp one...kueni makini coz tunakoelekea mtatusingizia kutoka hata na Dada zetu maana kuonekana na mtu sio mpaka awe mpenzi wako,navipi kama angekuw wakiume sasa??,
Mimi Sina mausiano yakimapenzi na yule binti,ile kuwa pamoja Siku ile tulienda kuangalia zoezi la timu anayoipenda yeye Mimi nilienda kama msindikizaji tu,yule ni binti Wa ndani kabisa Wa boss wangu na siwezi toka nae kimapenzi hata iweje,alisema mp one.
Share:

0 maoni:

Post a Comment

Gallery

Featured Posts

Column Right

Search This Blog

Carousel

Feat

Archive

Definition List

Recent Posts